Thursday, December 24, 2009

Merry Christmas from Kenya!

Merry Christmas everyone! Just wanted to leave you a short message this Christmas!

Hadithi hii imetoka katika kitabu cha Luka, mlango wa pili, kifungu cha kwanza mpaka cha ishirini. (This story is from Luke 2:1-20)

Siku zile Kaisari Augusto, mtawala wa milki ya Kirumi, aliamuru ya kwamba watu wote wa milki yake waandikishwe. Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza kufanyika nayo ilitokea wakati Kirenio alipokuwa liwali wa Siria. Watu wote walikwenda katika sehemu walikozaliwa ili waandikishwe huko. Yusufu alitoka mji wa Nazareti uliopo Galilaya akaenda mpaka Bethlehemu mji wa Daudi kwa sababu yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi. Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na mchumba wake Mariamu ambaye kwa wakati huu alikuwa mja mzito.

Walipokuwa Bethlehemu, wakati wa Mariamu kujifungua uli fika, naye akamzaa mtoto wa kiume, kifungua mimba. Akamfunika kwa vinguo na kumlaza horini, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.

Usiku ule walikuwako wachungaji wakilinda kondoo zao nje ya mji. Ghafla malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Mungu ukawang'azia pande zote. Wakajawa na hofu kuu. Lakini malaika akawatuliza akisema: ``Msiogope! Nawaletea habari njema ya furaha kubwa, na habari hii ni kwa faida ya watu wote! Kwa maana leo katika mji wa Bethlehemu, amezaliwa Mwokozi ambaye ndiye Kristo Bwana. Na hivi ndivyo mtakavyomtambua: mtamkuta mtoto mchanga amefunikwa vinguo na kulazwa horini.''

Mara jeshi kubwa la malaika wa mbinguni likatokea na pamoja wakamsifu Mungu wakiimba:``Atukuzwe Mungu juu mbin guni, na duniani iwepo amani kwa watu ambao amependezwa nao.''

Malaika hao waliporudi mbinguni wale wachungaji walish auriana: ``Jamani, twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotokea, ambayo Bwana ametufahamisha.''

Kwa hiyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Mariamu na Yusufu; na yule mtoto mchanga alikuwa amelala mahali pa kulia ng'ombe. Walipomwona mtoto, wakawaeleza yale waliyokuwa wameambiwa. Na wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wachungaji.Lakini Mariamu akayaweka mambo haya yote moyoni mwake, akayafikiria mara kwa mara.

Wale wachungaji wakarudi, huku wakimtukuza Mungu na kum sifu kwa yale waliyoyasikia na kuyaona.


Merry Christmas!

Jonathan for the Ferguson Family


Monday, December 14, 2009

2 Ferguson birthdays and Mbui mbui zaidi (more spiders)!

Hi everyone!

We are currently in the middle of
studying for our midterms. We can hardly believe we are HALF way done with school! Please pray for us as we have an oral midterm and a written test. We also had a written test last Friday so we've been studying hard!

This last week was Josiah's and Jonathan's birthday. Josiah was born on the 7th and Jonathan, the 9th. So we celebrated during chai time on the day of Josiah's birthday (half hour break between classes) and had Josiah's birthday party this
last Saturday. Check the video below to see Josiah getting sung to in English, Kiswahili and Korean!





This is the cake Jonathan made. "Dirt and Worms"















Josiah and his buddies enjoying chakula cha mchana (lunch). This is probably the most diverse party we've ever had!

















Dada (sister) Stella-One of our instructors. The name "dada" is actually not associated so much as a "Catholic" title but you can use "dada" with any sister in the Lord.















Okay so after I uploaded that video of the spider eating it's prey (a termite), I wanted to share with you a few more "little" spiders we found in the house.





This is an African Rain Spider. Apparently not harmless but I have to say, I freaked out like a little girl (for the record this is Adrienne :) ) Jonathan caught it in the bucket above and put it outside.

Okay, I really wanted to post this video but I want to apologize for how many times I say "Oh my God"....I won't make excuses....I feel really bad about that but check out the video!
And to end on a good note, watch Josiah get sung to in three different languages!

Bless you guys!
The Ferg4

Thursday, December 3, 2009

SPIDERS and bugs!!!

Hey guys!

I decided to post a videos GNARLY scary spider video here. Let me
ALSO just note that there is an ACTUAL dead tarantula at our church too....I've not seen any live ones though. Okay I have a second video BUT I need to find a way to load that second video better because for some reason the whole thing won't load ): but I am putting up some pictures too!

Love,
The Fergusons
So, believe it or not, this is the pile of WINGS I swept up after last nights rain
. When it rains we get hundreds of termites outside that will swarm to the lights and apparently their wings are very delicate. We woke up this morning and these wings of these termites were EVERYWHERE!!!! Each termite has four wings!











We took a class trip to the Tea Farm about 20 minutes away from the school. There were Colobus monkeys on the roof and this is a picture of Jonathan feeding them mangoes!












This picture is at our friend, Ruth's house. Ruth is the one on the swing. This is the same house where we had Thanksgiving















Josiah and his friend from Sudan.












This picture was also taken at another time at the tea farm. This is Josiah's friend, Mary. Josiah ABSOLUTELY adores Mary.